-->

Chuo Kikuu Teofilo Kisanji(TEKU)-Nafasi za Masomo kwa Muhula Unaoanza April 2018


CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI (TEKU) 

 “Mafunzo kwa Maisha Bora”
P.O.BOX 1104, Mbeya, Tanzania. Website:www.teku.ac.tz, Email: info@teku.ac.tz 
Mobile No: Admission: +255 767 235 290, +255 767 090 188, +255 764 600 241

CERTIFICATE & DIPLOMA CALL FOR APPLICATIONS MARCH INTAKE 2018

Mkurugenzi wa Elimu Anuai, anawatangazia Wahitimu wote wa kidato cha NNE na SITA   nafasi za masomo kwa ngazi ya  Astashahada (Certificate) na Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2018/2019 Tunaomba Umma ujue kwamba Tume ya Vyuo vikuu (TCU) haikusitisha  udahili wa Kozi za Certificate na Diploma. Kozi hizi zinaendelea kuendeshwa Chuoni  TEKU Mbeya, TEKU Dar na TEKU Tabora.
Kozi hizo za Certificate (Astashahada) na Diploma (Stashahada) ni kama zifuatazo:
  • Law (Sheria)
  • Human Resource Management (Usimamizi wa Rasilimali watu)
  • Business Administration (Utawala wa Biashara)
  • Community Development and Social Work ( Maendeleo ya Jamii)
  • Information Technology (Tekinolojia ya Habari)
  • Accounting and Finance (Uhasibu na Fedha)
  • Procurement and Supply Management (Usimamizi wa Manunuzi na Ugavi)
  • Journalism and Mass communication (Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwaa Umma)
  • Library, Records and Information Science (Ukutubi,Utunzaji wa Nyaraka na Sayansi ya Habari)
  • Theology (Theolojia)
Kozi  zote zinatambuliwa na baraza la taifa la elimu ya ufundi NACTE 

SIFA ZA MUOMBAJI

    CERTIFICATE (Astashahada)

Mwombaji awe amehitimu kidato cha Nne na awe amepata alama za ufaulu kuanzia   “D” 4 na kuendelea.

     DIPLOMA (Stashahada)

Muombaji awe amehitimu Kidato cha sita na awe na ufaulu wa “Principal Pass” moja na “Subsidiary”moja AU awe na Cheti cha msingi i.e ngazi ya nne kinachofanana na  kozi  Anayoomba

JINSI YA KUJIUNGA

Kwa utaratibu mpya uliotolewa na NACTE, Muombaji atadahiliwa moja kwa moja  chuoni. Ada ya maombi  ni shilingi 20,000/= tu. Fomu za maombi zinapatikana  chuoni TEKU-Mbeya, TEKU-Tabora Pia unaweza kuipata katika tovuti yetu ya  chuo (www.teku.ac.tz).

Malipo yafanyike kwenye akaunti namba: 62206600021 NMB.

Jina la Akaunti :Teofilo Kisanji University

Mwisho wa kupokea Maombi ni 30/3/2018 

Karibu sana Chuo Kikuu Teofilo Kisanji!!

Kujua zaidi kuhusu matawi yetu bonyeza hapa chini:

  1. TEKU – MBEYA
  2. TEKU-DAR ES SALAAM
  3. TEKU-TABORA

Read also-: