-->

Tangazo la kupotelewa vyeti: Paul Alfredy Mpiluka wa Iringa anatafuta vyeti vyake

 QUOTATION  KUTOKA KWA PAUL

Tangazo la kupotelewa na vyeti*
Ndugu zangu watanzania nawasalimu majina yangu ni #PaulAlfredyMpiluka mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga mnamo siku ya tar 04/05/2018 majira ya saa 03:34 usiku maeneo ya zakhem mbagala Dar es salaam nilipotelewa na begi ya mgongoni kwenye gari za #KisemvuleKivukoni #T577DCX begi hiyo ina vitu vifuatavyo
1. *Vyeti Original kuanzia darasa la saba mpaka Chuo kikuu*

2. *Laptop Hp proobok na adapter yake*

3. *Slot 2 za RAM*

4. *Funguo mbili za office*

NB Watanzania wenzangu naomba mnisaidie kwani vyote vilivyomo ndio maisha yangu gar ilipata hitilafu katika harakati za kujinusuru begi ilibaki ndani, hali iliporejea kuwa shwari sikupata tena begi yangu nisaidieni watanzania
*0752764700 0785314960*
*Nisaidie kufikisha ujumbe huu kwa watanzania wengine*
*Mungu Akubariki* Screenshot_2018-05-04-16-25-37-1.jpg Screenshot_2018-05-04-16-25-47-1.jpg

Read also-: