-->

Mwanafunzi KCMC MD4 apotelea baharini Pangani

New Jana jioni Mwanzafunzi wa Chuo Kikuu cha KCMC James Keffa alizama baharini eneo karibu na Sea Side. Hadi sasa hajapatikana. Juhudi za Kumtafuta bado zinaendelea.

Dkt. JUMA MFANGA

C&p

Inasemekana alikuwa anaogelea eneo hilo la sea side (jina la hotel) IMG-20180511-WA0006.jpg

Read also-: