-->

JINSI YA KUJUA KAMA SIMU/LINE YAKO INATUMIKA/INAONWA NA MTU MWINGINE NA JINSI YA KUZUIA

Tokeo la picha la hacker images
*JINSI YA KUJUA KAMA SIMU/LINE YAKO INATUMIKA/INAONWA NA MTU MWINGINE*


Habari wakuu, kama unahitaji kujua kama line yako inatumiwa na mtu mwingine au hakuna usiri kwenye line yako fanya hayo hapo chini ili uendelee kua salama.



piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.




Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa *monitoring device* kwenye namba yako.

Read also-: