EXCLUSIVE: Kutoka Gabon kuhusu mchezaji aliyeifunga Angola kupimwa dawa za kuongeza nguvu

Abdul Hamis Selemani ambaye ndio alikuwa karipotiwa kuwa alikwenda kupimwa kwa kushukiwa kuwa alitumia dawa za kuongeza nguvu kutokana na uwezo wake mkubwa aliounesha katika game dhidi ya Angola licha ya kutoka majeruhi na kuifungia Serengeti Boys goli la ushindi na baadae kuibuka mchezaji bora wa mechi.
mboyablog imempata afisa habari wa TFF Alfred Lucas ambaye alikuwa Libreville Airport kujiandaa na safari ya kwenda Port Gentil “Kwanza niwatoe shaka watanzania kwamba kuchukuliwa vipimo kwamba kuna shaka kuwa mchezaji katumia dawa za kusisimua misuli au la ni utaratibu wa kawaida” >>>Alfred Lucas
VIDEO: Alichoamua Rais wa Simba baada ya kupokwa point 3 na TFF vs Kagera