-->

PICHA KUMI KALI ZA WATU WAZITO BABA LA BABA WIKIEND FIESTA MTWARA WALIVYOKIMBIZA

BURUDANI

Pichaz 10: Msimu wa Fiesta 2016 ulivyopokelewa Mtwara weekend hii

on
Msimu wa FIESTA 2016 weekend hii ulidondokea Mtwara kwenye usiku wa Jumamosi kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ambapo jadi ya kuendeleza burudani ilikamilishwa na wakali wa bongofleva akiwemo Mr. Blue, Young D, Young Killer, Juma Nature, Joh Makini, Lord Eyez, Snura, Dayna Nyange na wengine.
img-20161009-wa0005
MR. Blue
img-20161009-wa0006
Madee
img-20161009-wa0007
Msami
img-20161009-wa0008
Dayna Nyange
img-20161009-wa0009
Lord Eyez
img-20161009-wa0010
Harmonize
img-20161009-wa0011
Joh Makini
img-20161009-wa0012
Young D
img-20161009-wa0013
Young Killer

Read also-: